Dongo la Diamond Lamtoa Mapovu Aliyekuwa Mume wa Zari Ivan....Meseji zavuja Zari Akimuomba Msamaaa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hali ni Tete Madale....Dongo la Diamond aliloandika kuhusu wale wanaojisifu kuwa wanahela lakini watoto wao wanaishi kwenye nyumba ya kupanga limemfikia mwenyewe ambae ni mume wa dhamani wa Zari aitwaje Ivan , Nimepitia kwenye mitandao nimekuta mazungumzo yaliyovuja ambayo yanasemekana ni kati ya Zari na Ex Wake huyo baada ya Ujumbe wa Diamond Kuwafikia mpaka watoto wao ambao walizaa pamoja.

Nimekuwekea Hapa hayo mazungumzo ambayo yasemekana yamevuja kutoka kwa mmoja wao:



Ruby Awapiga Vijembe Clouds FM na Ruge Kwenye Wimbo Wake Mpya Soma zaidi Hapa

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

14 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. waleteeeeeeeeeeeeeee mond hakutumia busara but no way ishatokea waache nwatoleane povuu

    ReplyDelete
  2. Tatizo la jamaa uswahili mwingi

    ReplyDelete
  3. sasa samahani za nn na yeye anabwana tajiri?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Heshima itaendelea kuwepo na lazima aseme sorry,
      yule ni baba wa watoto wake na itabaki kuwa hivyo.

      Delete
  4. Hahahaahahahahaha hatwariiiii...ni hv ivan hajapanga jamnn domo limeponza kichwa...ivan apange for wat..magari yote aliyokuwa anaendesha zari kweli ivan apange...

    ReplyDelete
  5. Na sijui kama Zari utakua happy kuishi kwenye nyumba bila watoto wako wa kiume....so sad.....IVan kwa huo umaskini wake mnaosema anauwezo wa ku wa feed watoto mabaya yako na Domo watoto wako waka kuchukia bila sababu...

    ReplyDelete
  6. Inaonekana Mondi kilikuwa kinamuuma siku nyingi kwa hiyo alivyopata cha kwake nae akaamua atapike ya moyoni! ha ha haaa au inawezekana zari alimdanganya nyumba ni ya kupanga ili dai amnunulie nyumba huko south. Ujanja kupata bwana... zari endelea kuwakimbiza hadi wakununulie ndege... ha ha ha haaaa uwiii

    ReplyDelete
  7. na wewe pia ni mpumbavu Anony 4.47 PM

    ReplyDelete
  8. she has right t apologise jamani kusoma shuke ni muhimu sana basi kuwa mstarabu kidogo ma bibi zako wote wastaarab (civilised) but wewe hata kuva unailimishwa hustarabiki shame on you kuwa akili kidogo if ibwaa zari that will be the end of us my kids are my first priority

    ReplyDelete
  9. Most likely hiyo nyumba haijanunuliwa!! Inaonekana bado nyumba inafutwa lakini haijanunuliwa! Halafu skendo hii inamuumbua Zari anayejiita Bossylad tajiri kumbe naye anaishi kwa kutegemea wanaume. Ndiyo maana hata alipokuta upupu wa mademu za Daimond chumbani na video zao wakiwa kitandani bado alifyata mkia!

    ReplyDelete
  10. Picha nyingi magari mengi kumbe ziro wanaume ndio wanaokueka mjini fyuuu bahati mondi ana Imani

    ReplyDelete
  11. Hapa sijaona shida ipo wapi, kwani haya ni masuala ya kimaisha tena kwa kila mtu.Nasema wazi na wote mnajua kuwa mara nyingi tunanunua magarri huku tukiwa napanga uswazi na magari yetu tunayalaza ofisi za ccm, maeneo ya wazi yanayolaza magari kwa kulipia. Kwa ufupi haya ndiyo maisha yetu na yaliyowatokea hao watu 3 siyo ya kujadili sana kwa hata sisi yanatugusa kwa njia moja au nyingine. Tujadili kwa fikra pevu, Thnx very much ma fellowz.

    ReplyDelete
  12. kama Zari angekuwa tajiri kweli asingehangaika kuzaa na Diamond na kumfuata kama mkia wa mbuzi wala asingezaa hovyo angekuwa kama akina Huda na Vera kazi zao ni kusafiri nchi za nje kula bata na kupata mkwanja mreefu

    ReplyDelete

Top Post Ad