HARD WORK Pays...AIKA na Nahreel Ndani ya MTV Mama Awards 2016

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kundi la Navy Kenzo ambalo linaundwa na Aika na Nahreel limefanikiwa kuingia katika Mchakato (Nomination) wa kutafuta washindi wa MTV Mama Awards 2016 Kwenye kipengele cha Group Bora la Muziki Afrika,

Nimeanza na kuandika Hard Work Pays Kwasababu ni dhahiri kuwa hawa jamaa wamefanya kazi hasa katika miaka ya karibuni katika kazi zao za muziki huu wa Bongo Flava Hapa Tanzania, Ukiangalia nyimbo zao za hivi karibuni kama Game na Kamatia chini ni nyimbo ambazo waliamua kuwekeza pesa hasa ili kufika kiwango cha kimataifa na kuweza kuwafanya wajulikane Afrika nzima

Hawa ni Mfano mzuri sana wakuigwa na wasanii wengine wa hapa Bongo , Katika tuzo hizo Kutoka Tanzania Wasanii walioweza kufanikiwa kuingia katika mchakato Navykenzo, Diamond na Ali Kiba...

Kazi imebaki kwetu mashabiki kuwapigia kura ili waweze kushinda Tuzo Hizo
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. HONGERENI SANA NAIPENDA SANA COUPLE YENU IKO BOMBA SANA. KURA YANGU KWENU!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad