AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Bongo5 Jumamosi hii, Nahreel amesema anashangaa kuona watu hawaamini kama pesa zote za ujenzi wa nyumba hiyo zimepatikana kwenye muziki.
“Watu kuongea ni kawaida lakini mwisho wa siku sisi tunajua pesa zote zimepatikana kwenye muziki, karibu asilimia 97 ni muziki, kwa hiyo hivyo ni vitu vya kawaisa,” alisema Nahreel. “Na Mungu akipenda Disemba mjengo utakuwa umekamilika na kila kitu kinaenda sawa mpaka sasa,”
Pia Nahreel amewataka mashabiki wa muziki wao kukaa mkao wa kula kwa ajili ya video mpya ambayo tayari wameshoot Afrika Kusini.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wewe na Mungu wako ndio mnajua pesa mnazipata wapi??
ReplyDelete