Mjengo wa Navy Kenzo Uliogharimu Tsh Milioni 700 kukamilika Disemba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa Kundi la muziki la Navy Kenzo, Nahreel amesema ujenzi wa nyumba yao inayogharimu zaidi milioni 700 unatarajiwa kukamilika mwezi Disemba mwaka huu.

Akiongea na Bongo5 Jumamosi hii, Nahreel amesema anashangaa kuona watu hawaamini kama pesa zote za ujenzi wa nyumba hiyo zimepatikana kwenye muziki.

“Watu kuongea ni kawaida lakini mwisho wa siku sisi tunajua pesa zote zimepatikana kwenye muziki, karibu asilimia 97 ni muziki, kwa hiyo hivyo ni vitu vya kawaisa,” alisema Nahreel. “Na Mungu akipenda Disemba mjengo utakuwa umekamilika na kila kitu kinaenda sawa mpaka sasa,”

Pia Nahreel amewataka mashabiki wa muziki wao kukaa mkao wa kula kwa ajili ya video mpya ambayo tayari wameshoot Afrika Kusini.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wewe na Mungu wako ndio mnajua pesa mnazipata wapi??

    ReplyDelete

Top Post Ad