UJUE Msitu wa Ajabu Japan Ambapo Maelfu ya Watu Wamekufa Kimiujiza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aokigahara au msitu wa kujiua au bahari ya miti ni msitu ambao una ukubwa wa 35 square- kilomita ambao uko karibu na milima ya fuji huko japan

msitu huu ni msitu ambao mbali ya kuwa ni kivutio kikubwa cha watalii ni msitu ambao unasemekana kuwa una mambo ya ajabu, kutisha na kuogofya

ni kawaida kabisa ukiwa ndani ya msitu wa Aokigahara ukisikia unaitwa jina lako na mtu asiyeonekana iwapo ukiwa ndani ya msitu huo.

pia inasemekana kuwa unaweza kumuona mtu kwa mbali kwenye miti ya msitu huo ukifuatilia huoni mtu kwa maana watu hao wanapotelea kwenye miti 

Msitu huo unasemekana una mapepo ya kujapan kwani tokea uwepo wake ni maelfu ya watu wamekuwa wakikutwa wamekufa maeneo hayo haya kwa kujiua

ambapo kwa mwaka 2010 pekee watu 54 wamekutwa wamekufa ndani ya msitu huo

tafiti zaidi zinasema kuwa tokea mwaka 1988 walipoanza kufanya hesabu za watu wanaojiua msituni hapo ni watu 30 kila mwaka huenda msituni hapo na kujiua

In 2003, miili 105 ilikutwa msituni watu wakiwa wamejiua, ambapo iliizidi recodi ya watu 78 mwaka 2002 

mwaka 2010, it was estimated that watu 200 walijaribu kujiua na kati ya hao 54 walifanikiwa kujiua

cha kushangaza sasa matukio ya kujiua yanaongezeka sana mwezi March mwisho wa fiscal year kwa japan

mwaka 2011 watu wengi waliojiua hapo ni walitumia njia ya kujinyonga na wengine drug overdose

siku za hivi karibuni serikali ya Japan imeamua kuficha namba ya watu wanaojiua lakini inasemekana mpaka mwaka huu kwa maana ya mwezi huu tayari kuna waliokwisha jiua msituni 

Ukiwa unaingia Msituni utakuta kuna vibao ambavyo vinaelezea kuhusu msitu na onyo utakaopewa wewe mtalii

msitu wa Aokigahara imewekwa kwenye media ambapo mwandishi maarufu wa vitabu wa japan Seichō Matsumoto mwaka 1960 aliandika kitabu kiitwacho Kuroi Jukai (Black Sea of Trees). Bahari nyeusi ya miti

Holywood na wao hawako nyuma kwani mwaka huu kuna movie inatoka inaitwa the forest iliyoongozwa na mwongozaji maarufu wa filamu jason zada na imetayarishwa na David Goyer ambaye ni mtayarishaji maarufu wa filamu ikumbukwe ndiye aliyatayarisha movie za Blade, Batman Begins na Man Of Steel (superman based movie) the forest imechezwa na Natalie Bormer na Taylor Kinney movie imetoka january 8 mwaka huu 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad