Zari Arusha Dongo Gizani..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Zari awatupia dongo wabaya wake, akiwananga vimada wa mzazi mwenzie, diamond platnums na kuwaambia its familia time hivyo hawana nafasi kwa sasa


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. she very mjanja watanzania amkeni asiwababaishe huyu hakuna alie toka mtini kila mtu ana familia when you say its family time no need kujianika mtu mzima unajizuzua hilo tumbo usilingize ndani utabanwa na pumzi shauri yako hakuna asie kujua tumechoka na hadithi zako mzuzue huyo rembukeni ambae kaona dunia juzi na jana asue kumbuka fadhila za waliomuelimisha vichekesho hakuna kiki this time

    ReplyDelete
  2. Then she's not happy if always she wants to compare her time with Nyaku!!!

    Piga kimyaaa, onyesha maraha mnayokula huko. Kimyaaa wataungulia

    Action Speak Louder ZARI grow mama!!
    But hata wewe bado nyaku hujasema I DO

    ReplyDelete
  3. kaishiwa huyo kizee. Domo mwenyewe anamuona baada ya miezi 6. alee watoto na nyumba ya kupanga hata jina lake halijaandikwa. asitubabaishe. Hamisa kula raha taratiibu.

    ReplyDelete
  4. yeye siyo nyaku? aliolewa lini? kaishia kuzaa mtoto kama taahira.

    ReplyDelete
  5. sawa sawa zarina hassan-wafahamishe hao,vizoa zoa..BIG UP ZARI tetea ngome yako..family first wataongea sana lkn we wapotezee tu..cc wabongo watu wa kuchonga sana tu wenyewe tunajijua..

    ReplyDelete
  6. fox la ug. linaangaika na kitoto cha 25. Aibu ndo maana Hudaa alimchamba. akanyoe mivuzi yake kwanza.

    ReplyDelete
  7. ingiza tumbo ndani bi kizee usidangamye watu eti nyaku alikuwa wa mwenzako ukanyakua so tell me who is nyaku ukafanya bidii ukanyskua na mimba ukaona duuh jamaa lazima abaki hapa so ukanyakua na ya pili heee hujui kesho utahesabiwa kwa kuzini ovyo na kubadili dini yaan wewe kwa kifupi nikwbie umejaa dhambi na kisheria wewe ni wa kupigwa mawe hadi kufa kwa nyaku kaa kimya usitafute kiki

    ReplyDelete

Top Post Ad