Zari Kusimamia Shule na Vyuo Vyote vya Ivan Vilivyopo South Africa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya maziko siku ya Jumanne nchini UGANDA ya aliyekuwa mume wa Zari.
Mwanamama huyu ataanza kazi rasmi ya kusimamia na kuendeleleza vyuo na shule zilizoachwa na Ivan.

Kaka wa Ivan na aliekuwa mtu wa karibu yake Pinto amesema hayo.Pinto amesema tatizo la moyo ni ugonjwa uliopo kwenye familia yao na kitendo cha Zari kuwa na watoto 3 wa Ivan tayari amequalify kuwa msimamizi wa mali hizo kwa ajili ya future ya watoto ikizingatiwa wazazi wote wawili wa IVAN walishafariki.

Pinto amekanusha habari zinazombaa kwamba wana ndugu wanagombania mali huku akisema pesa kwenye familia yao sio tatizo ni kitu kipo kwenye blood.

Zari To Manage Ivan Ssemwanga’s Schools In S.A

A few hours after Zari managed to secure her deceased ex hubby ’ s will, sources revealed that the Ugandan socialite will take over managerial duties for all schools Ivan had established in South Africa. This exclusive information was released by one of Ivan ’ s close family members only identified as Sir Pinto.

Ivan left behind Brooklyn College that has over 7 campuses spread allover South Africa. After revealing that both of Ivan ’ s parents died in his infant stages, Pinto also added that high blood pressure is very common in their family and Ivan’ s life is not the first to be taken among them . Pinto also disagrees with people who have been claiming that his family is fighting for the deceased property as he trashed the claims by saying their family has enough money.

His reply follows claims that have been making rounds on various news platforms that Zari, family members and other close friends were fighting for the deceased’ s property . Being the mother of Ivan ’ s three young sons , Zari qualifies more than any other person to protect the kids property from greedy people likely to take advantage of the business man ’ s death .

It should be noted that Zari also worked hard with Ivan to establish most of these businesses before she dumped him for a younger Tanzanian musician commonly known as Diamond Platinumz .

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad