google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Huddah Monroe "Nachukia Sana Tendo la Ngono..Najuta Kujiingiza Huko" | UDAKU SPECIAL

Huddah Monroe "Nachukia Sana Tendo la Ngono..Najuta Kujiingiza Huko"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kila mtu ana mabaya na mazuri yake katika maisha. Mrembo Huddah Monroe ambaye anafahamka sana kwenye mitandao ya kijamii ameonyesha kujutia kuingia katika mahusiano.

Licha ya kuwa na mvuto hasa kwa wanaume, mrembo huyo ameonyesha kuchukia maisha yake ya kimahusiano na anatamani bora asingejiingiza katika tendo la ngono na mtu yeyote kwa sababu wakiachana na mtu huyo huwa anajutia kuingia naye kwenye mahusiano.

Huddah amepost kupitia Snap Chat yake ambayo inaelezea kuwa anajutia kitendo hicho na tena anakereka hasa anapoachana na mtu huo na  baadae  mtu huyo ambaye anamuoana mbaya kwa wakati huo anakuwa akimfua warudiane.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad