AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutoka kwenye kamati hiyo, Meya Jackob alisema ameitwa kuhojiwa masuala mbalimbali kuhusu shauri hilo, huku naye pia akidaiwa kukiuka sheria za utumishi wa umma kwa kufanya mkutano wa chama ndani ya ofisi za serikali ambapo amesema kwamba ameiambia kamati hoja yake ya msingi ni Paul Makonda kudaiwa kutumia vyeti vya mtu mwingine, wakati jina lake halisi ni Paul Albert Bashite.
Meya Jackob amesema anashukuru kwamba ushahidi wote alioupeleka kwenye kamati hiyo, umepokelewa na hakuna aliyejitokeza kuupinga hivyo anaamini mwisho ukweli utajulikana, huku akisisitiza kwamba yupo tayari kufanya kazi na Daudi Albert Bashite hata kama aliishia darasa la saba lakini anachotaka ni ukweli kufahamika.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hapo meya umenena ni kweli kabisa tunataka kuona vyeti ilivo kuja kesi ya vyeti feki siku hizi hata muuza karanga lazima awe cmesoma itakuwa mkuu wa mkoa first of all he dont have personaĺitý ya cheo alicho pewa au ukabila umeanza he is bogus
ReplyDelete