AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Alikiba amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram wakati na kusema mdanii huyo anaweza pale aliposikiliza kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la 'Natamba' ambayo imetoka siku mbili zilizopita na kuendelea kufanya vyema na kupokea vizuri na mashabiki.
Ngoma hiyo ya Aslay 'Natamba' ni kati ya ngoma kumi na tisa ambazo ameachia nyota huyo toka ameanza kufanya kazi kama 'Solo Artist' nyimbo ambazo zimeweza kumpatia mashabiki wengi zaidi nchini na kufanya kazi zake kuendelea kupendwa zaidi kutokana na tungo zake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK