AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Planet Bongo ya EA Radio amesema ngoma yake kwa sasa ina miezi minne na bado inaendelea kufanya vizuri kitu ambacho anaamini ni kutokana ukali wake.
“Papa ni kali kuliko Seduce Me sema Alikiba ni msanii mkubwa na watu walimmiss sana, huwezi kusikiliza Seduce Me zaidi ya mara tano lakini Papa unaweza kusikiliza siku nzima” amesema Gigy Money.
Wimbo wa Gigy Money ‘Papa’ hadi sasa una views 381,008 katika mtandao wa YouTube wakati ule wa Alikiba ‘Seduce Me’ uliotoka August 25 una views milioni 6.3.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
huyu kweli mwehu hivo kweli uko sawa na hasa unajiweka kwenye level za wasani kafe mbele huna lolote ukurutu
ReplyDelete