Ali Kiba Awaacha Watu Njia Panda Awaachia Swali Hili Mashabiki " Nini Kinafuata?"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ali Kiba Awaacha Watu Njia Panda Awaachia Swali Hili Mashabiki " Nini Kinafuata?"
Staa wa muziki wa bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘AliKiba’ ameanza kuonesha dalili za ujio wa kazi nyingine baada ya ‘Seduce Me’ iliyoingia kwenye rekodi ya kazi zake zilizopokelewa vizuri zaidi ndani ya muda muda mfupi kwa mwaka 2017.

AliKiba sio mtu wa maneno mengi katika kuachia kazi zaidi ya vionjo vya kugusia gusia kwa maneno machache ya kinachopatikana katika kazi yake yoyote pindi anapoelekea kuiachia rasmi ambapo mapema leo aliweka picha yake akiuliza mashabiki kuwa nini ‘Kinafuata?? ‘What Next…?.
Muda mfupi baadae mara baada ya post hiyo iliyoambatana na swali, Kiba aliweka picha yake nyingine akiwa na muongozaji wa video mpya ya kolabo ya wimbo ‘Malo’ wa Tiwa Savage uliyowashirikisha StarBoy ‘Wizkid’ na Spellz, Director Meji Alabi. Swali likaibuka Je’ anachouliziwa kuwa nini kifuate kimeongozwa na Director Meji Alabi ambaye aliongoza video ya hitsong ya ‘Chekecha Cheketua’ ya AliKiba.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad