AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Risasi Jumamosi Lungi alisema kuwa Ray C hakutakiwa kuongea hayo wakati yeye bado hajaolewa angeolewa kwanza ndiyo akaanza kuongea maneno hayo.
“Ninavyomjua Ray C bado hajaolewa, sasa hayo anayomwambia mheshimiwa alitakiwa kwanza kuyafanyia kazi yeye kwa sababu ninao uhakika kuwa hata yeye anaingia nyumba za wageni na wala hajaolewa, atupe mfano kwanza kwa sababu mimi najua sheria hatungi yeye,” alisema Lungi ambaye haikufahamika ni kwa nini alikerwa na jambo hilo kwa sababu yeye ni mama mwenye watoto wanne tena wote ni wa kike.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK