AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki kutokea nchini Marekani Rick Ross leo January 26,2018 amechukua headlines katika mitandao ya kijamii baada ya kujulikana kafuta picha zote za Diamond Platnumz katika ukurasa wake wa Instagram.
Rick Ross amewahi kumpost mara mbili Diamond Platnumz kupitia ukurasa wake wa instagram, post zote zikihusiana na ishu ya ubalozi wa kinywaji cha Belaire mwezi September 2017.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK