AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hamisa katika mtandao wa Instagran kuna mashabiki ambao wameunda team na kumpa majina ya maudhi ilimradi kumdhalilisha au kumchukiza.
Majina hayo ni chuchunge, Ruba, Mbu, Laki tano, ambapo watu hao huyatumia kwa kutuma picha ya Hamisa katika akaunti zao na kuandika jina moja kati ya hayo na maelezo yanayomuhusu Hamisa.
Hamisa alipata kupiga stori na MCL Digital ,ambapo amesema anawashangaa sana wanaompa majina ya ajabu ajabu wakitegemea anaweza kuchukia kumbe anayafurahia na kuyapenda na anawashauri wamuongezee majina mengine ili aweze kupata dili zaidi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
safi sana. mwanamke kujiamini
ReplyDelete