AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mamlaka ya Mawasiliano(TCRA) imepokea orodha ya nyimbo 15 zisizokuwa na maadili kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kupiga marufuku nyimbo hizo kuendelea kurushwa katika vyombo vya habari huku ikisema hatua za kisheria kuchukuliwa kwa watakaokiuka.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Kwa nini nyimbo 2 za Nick wa pili hazijafungiwa? Kaimba matusi hadharani na mafumbo....... Kwenu wasanii, kwani haiwezekani mkaimba nyimbo bila matusi?? Mbona Mrisho Mpotto anaeleweka vizuri...kama muziki umewashinda, tafuteni shughuli nyingine mfanye.......TUMEWACHOKA NA MITUSI YENU!
ReplyDelete