TRCA Yafungia Nyimbo za Diamond, Nay wa Mitego, Roma, Young Dee na Wengine Kisaa Hichi Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mamlaka ya Mawasiliano(TCRA) imepokea orodha ya nyimbo 15 zisizokuwa na maadili kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kupiga marufuku nyimbo hizo kuendelea kurushwa katika vyombo vya habari huku ikisema hatua za kisheria kuchukuliwa kwa watakaokiuka.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kwa nini nyimbo 2 za Nick wa pili hazijafungiwa? Kaimba matusi hadharani na mafumbo....... Kwenu wasanii, kwani haiwezekani mkaimba nyimbo bila matusi?? Mbona Mrisho Mpotto anaeleweka vizuri...kama muziki umewashinda, tafuteni shughuli nyingine mfanye.......TUMEWACHOKA NA MITUSI YENU!

    ReplyDelete

Top Post Ad