Auawa na Wananchi Baada ya Kukutwa Akifanya Mapenzi na Ngombe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


BARINGO, KENYA: Kijana Joseph Koech mwenye umri wa miaka 25 auawa kwa kushambuliwa na Wananchi baada ya kukutwa akifanya mapenzi na Ng'ombe

Kijana huyo alijitetea kuwa alilazimika kufanya hivyo kwasababu anawaogopa Wasichana kwakua wengi wana UKIMWI. Kijana huyo anadaiwa kumfunga miguu na pembe Ng'ombe huyo kabla ya kuanza kumuingilia

Aliwasihi watu hao wasimuue wamuache alipe gharama za kosa hilo kwa kutoa kipande chake cha ardhi lakini ombi lake halikusikilizwa

Kutokana na kuvuja damu nyingi alifariki mara baada ya kufikishwa Hospitali ya Eldama-Ravine
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad