AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Moja kati ya vitu ambavyo wamejadili ni maombi yao ya kusamehewa adhabu zao za kufungiwa na kujishugulisha kwenye sanaa ya muziki kwa kipindi cha miezi sita kwa upande wa Roma baada ya kutangaza kusamehewa alitangaza kuufuta wimbo wake wa “Kibamia” .
Roma Mkatoliki alisema……..>>>“Mimi kama Roma au kama mtu niliotoa bidhaa kuna maamuzi ambayo tumefikia ni kwamba ile bidhaa ina ukakasi na mimi nasema kama mwenye bidhaa vyombo ama mamlaka na taasisi ambazo zinasimamia hizi bidhaa kuingia sokoni ziweze kuiondoa hiyo bidhaa mara moja”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK