AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rick ambaye alikuwa amelazwa katika hospitali moja mjini Florida baada kupata tatizo la kushindwa kupumua na kupoteza fahamu kutokana na nimonia amerudi mtaani rasmi na kuamua kuwajuza mashabiki zake katika mtandao wa kijamii wa Instagram.
“Ain’t nothing like home 🙏🏼. I love y’all – WLR,” ameandika Rick Ross. Huku akiwa ameweka picha ya mtu aliyevaa koti lililoandikwa “Black Bottle Boys” mgongoni mwake na kushika chupa ya mvinyo ya Luc Belaire.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK