AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Man Water amebainisha hayo wakati alipokuwa anapiga stori na 'BIG CHAWA' kutoka katika kipindi cha Planet Bongo 'PB' ya East Africa Radio baada ya kuwepo na malalamiko mengi yanatoka kwa mashabiki wake waliokuwa wanadai wanataka kumsikia mfalme wao aking'uruma katika muziki.
"Kuna ngoma ambayo tumefanya na imeshafanyiwa video tayari kwa jinsi nilivyosikia, kwasababu Alikiba yupo South Afrika 'SA'. Pengine wimbo huo unaweza ukawa ndio unaofuata kwa sasa baada ya 'Seduce me", amesema Man Water.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK