Mapenzi Yamliza Nisha Atamani Kuwa Bachela Ajifariji na Sikomi ya Diamond

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mapenzi Yamliza Nisha Atamani Kuwa Bachela Ajifariji na Sikomi ya Diamond
Wimbo wa msanii Diamond Platnumz ‘Sikomi’ wamfariji  na kumtoa machozi muigizaji Nisha   baada ya mpenzi huyo kuonekana kupitia kipindi kigumu katika mapenzi  na kutamani kuwa Bachela.

Hivi karibuni kumekuwa na stori kuwa aliyekuwa mpenzi wa Nisha amekwapuliwa na mwanadada Snura Mushi ambaye ndiye anatoka naye kimapenzi.

Hata hivyo muimbaji huyo amekuwa akikanusha hilo kwa kueleza wapo pamoja kikazi tu na si vinginevyo.

Wimbo huo ambao maudhui yake unazungumzia mapenzi kwa mtu ambaye ametendwa, unasikika katika video ambayo ameiposti Nisha katika ukurasa wake wa Instagram ambapo anaonekana akiliakwa uchungu.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad