Rick Ross Atolewa Hospitali Baada ya Afya Yake Kutengemaa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rick Ross Atolewa Hospitali Baada ya Afya Yake Kutengemaa
Rapper Rick Ross ameruhusiwa kurudi nyumbani baada ya kukaa hospitali kwa siku nne akipatiwa matibabu.

Bosi huyo wa Maybach Music Group alifikishwa hospitali mjini Florida siku ya Ijumaa baada kupata tatizo la kushindwa kupumua na kupoteza fahamu.

Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, rapper huyo ameruhusiwa Jumatatu asubuhi kurudi nyumbani lakini bado anaendelea kupata matibabu katika makazi yake.

Mtandao huo umeongeza kuwa Ross alihamishwa katika hospitali mbili tofauti kwa ajili ya kupat matibabu kutokana na hali yake ilivyokuwa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad