AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akibonga na Risasi Vibes, Choki alisema kuwa, anafanya kazi na Bendi ya The Mafiki huku muda mwingi akiutumia kwa ajili ya kuangalia familia zaidi na kuhofia kuanzisha bendi yake kutokana na hali halisi ya sasa, kwamba, muziki huo haulipi na bendi alishakuwa nayo, ikafa.
“Mwanzoni nilitamani kuirudisha bendi yangu ya Extra Bongo, lakini nimekuja kutafakari nikaamua niachane nayo tu maana nitaumia zaidi kwani kuwa na bendi kuna changamoto kubwa sana hivyo nitaendelea kufanya kazi na bendi za watu na kutulia na familia zaidi,” alisema.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK