Hakuna Harmonize Bila Diamond- Harmonize

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hakuna Harmonize Bila Diamond- Harmonize
Msanii kutoka WCB, Harmonize amefunguka tetesi za kumiliki mkwanja mrefu kumzidi Diamond.

Muimbaji huyo anayefanya vizuri na ngoma ‘Kwa Ngwaru’ ameiambia Radio Five kuwa stori hizo zipo tu mtaani ila hazina ukweli wowote.

“Diamond kwa Harmonize ni kama mzazi, hakuna Harmonize bila Diamond, so mimi hata iweje atabaki kuwa Diamond, so hizi ni stori ambazo zipo mtaani,” amesema.

Ngoma ya Kwa Ngwaru ambayo Harmonize kamshirikisha Diamond, ni ya pili kufanya pamoja baada ya ‘Bado’ iliyotoka mwaka 2016.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad