Huu Hapa Ujumbe wa Makonda kwa Lulu "Kumbe Wanaokuombea Mema Wako Wachache"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Huu Hapa Ujumbe wa Makonda kwa Lulu "Kumbe Wanaokuombea Mema Wako Wachache"
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amemtakia heri ya siku ya mfanano wa kuzaliwa Elizabeth Michael (Lulu) huku akimwambia kuwa wanaomuombea mema wachache ila wenye nyuso za huzuni ni wengi.

Makonda ameeleza kuwa kwa kuwa Mungu ametenda basi watakuja na nyuso za furaha japo hazina mahusiano na mioyo yao.

RC Makonda ametoa ujumbe huo leo, Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;

Kumbe wanaokuombea mema wako wachache ila wenyenyuso za huzuni wako wengi japo hawamaanishi. Na kwakua Mungu ametenda basi watakuja tena na nyuso za furaha japo hazina mahusiano na mioyo yao. Kwakifupi hii ndiyo dunia ambayo Mungu amekuongezea tena mwaka wa kuishi. Happy birthday mwanangu
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad