Mwanamke Akamatwa na Kufungiwa Kwa Kosa la Kuwapa Wanawake Wenzake Mimba za Bandia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


GUINEA: Mwanamke mmoja(N'na Camara) ambaye aliuza dawa za kienyeji kwa wagumba, akiwaambia kuwa wangepata mimba, amefungiwa miaka mitano kufanya kazi hiyo
-
N'na Fanta Camara anadaiwa kuwalaghai zaidi ya wanawake 700 kwa kutengeneza dawa ya kienyeji ambayo ilisababisha matumbo yao kufura na kuonekana kuwa ni wajawazito
-
Camara, alipatwa na hatia ya kuwapatia wanawake hao dawa zilizowadhuru na zilizoweka maisha yao hatarini. Aliagizwa kulipa fidia ya dola za Marekani 165,000
-
Mwaka 2006 shirika la afya duniani lilisema kuwa asilimia 80 ya waafrika walitumia matibabu ya kienyeji.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad