Rais Magufuli Amteua Mwenyekiti wa Bodi wa NBAA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais Magufuli Amteua Mwenyekiti wa Bodi wa NBAA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Isaya Jayambo Jairo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA).


Taarifa hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na kueleza kuwa uteuzi huo wa Prof. Jairo unaanza leo Aprili 11, 2018.

Soma hapa chini kwa taarifa kamili.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad