Mkulima Amvalisha Ng’ombe Wake Sidiria Kuepuka Magonjwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkulima Amvalisha Ng’ombe Wake  Sidiria Kuepuka Magonjwa
Dunia haishiwi vituko na leo May 23, 2018 nakusogezea stori kumhusu Mkulima anayejulikana kwa jina la Graham Burnet kutoka nchini Scotland amewashangaza wengi baada ya kuwa mbunifu kwa kumvalisha ng’ombe wake sidiria.

Aidha imeelezwa kuwa mkulima huyo anafanya hivyo kwa minajili ya kumkinga ng’ombe wake huyo asipate maambukizi kwenye chuchu zake.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad