AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Awali Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo alisema kuna maendeleo makubwa kutokana na mazungumzo dhidi ya maafisa wa juu wa Korea Kaskazini lakini alikataa kuhakikisha mazungumzao kati ya Trump na Kim Jong.
Pompeo Ameongeza pia kuwa ikiwa mazungumzo baina ya viongozi hao wawili yataenda sawa basi litakuwa ni jambo la Kihistioria na lenye kuleta Maendeleo ya dunia.
Pompeo na afisa wa ngazi ya juu wa Korea Kaskazini, Kim Yong Chol wanaendelea na mazungumzo yao mjini New York, kujaribu kuandaa mkutano wa kilele kati ya Rais Donald Trump na Kim Jong Un akiwa ni afisa wa ngazi ya juu wa Korea Kaskazini kuizuru Marekani katika kipindi cha miaka 18.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK