AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shilole aliyasema hayo alipokuwa amealikwa kwenye futari ya msanii wa filamu, Irene Uwoya ambapo wakati akizungumzia mabadiliko yake katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan aliweka wazi kuwa, hana muda mrefu ataupiga chini muziki.
“Si unaona nilivyopendeza na vazi hili la kiislam? Basi kwa taarifa yako sina muda mrefu na mimi nitaacha muziki kama alivyofanya Mzee Yusuf, inawezekana kabisa, ni suala la kuamua tu.
“Kizuri ni kwamba nina vyanzo vingine vya kipato, si unajua nina ule mgahawa wangu pamoja na biashara zangu nyingine? Hizo zitanifanya niendelee kuishi nitakapokuwa nimechukua uamuzi huo,” alisema Shilole.
Chanzo: Global Publishers
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK