Afande Sele afunguka ishu ya kumng’oa ubunge Sugu na Professor J (Audio)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkongwe wa muziki nchini Selemani Msindi ‘Afande Sele’ amesema anajipanga kumng’oa Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ katika jimbo la uchaguzi Mbeya mjini mwaka 2020. Afande Sele ambaye alihamia CCM akitoka ACT Wazalendo, ameuambia mtandao wa Habari Leo kwamba, anaona namna Sugu alivyojineemesha na fedha za uongozi huku akiacha jimbo lake halina maendeleo yoyote.

VIDEO:

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad