AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gwajima ametoa pongezi hizo katika ukurasa wake wa Mtandao wa kijami wa INSTAGRAM leo na kusema kuwa mengi yalisemwa lakini Mungu ni anatosha.
"Hongera sana ndugu zangu kwa kupata zawadi ya mtoto mengi yalisemwa lakini kwa hakika Mungu wetu anatosha kwani hujibu kwa wakati wake maombi daima ni silaha bora kwa aduizetu'. ameadindika Gwajima.
Itakumbukwa kuwa Gwajima na Makonda ni marfiki wa muda mrefu wakati wa shida naraha ,marakwa mara amekuwa akiamini utendaji kazi wa Paul Makonda kuwa ni kiongozi ambaye ni mfano wa kuigwa na kusisitizakuwapuuza maadui wasiomtakia mema katika utumishi wakeulio tukuka.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK