Huyu Ndio Rais wa Nchi ya Africa Anayeishi Switzeland Hotelini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


JE WAJUA?: Rais wa Cameroon, Paul Biya mwenye umri wa miaka 85 anaishi katika hoteli ya kifahari nchini Switzerland inayogharimu Shilingi za Kitanzania zaidi ya Milioni 91

Rais Biya aliyeitawala Cameroon tangu mwaka 1982 huitembelea nchi yake mara kwa Mara na huitisha kikao cha Baraza la Mawaziri mara 1 kila baada ya miaka 3

Kiongozi huyo ametangaza nia ya kuwania kiti cha urais kwa muhula wa 7
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad