AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Zimbabwe haiwezi kusalia kuwa Zimbabwe, kwasababu imegeuzwa kuwa gofu la Zimbabwe," Chamisa aliwaambia maelfu ya wafuasi katika mkutano wa kisiasa mashariki mwa mji wa Mutare.
"Jina la Zimbabwe limelaaniwa kama mnavyoona timu yetu ya taifa ya soka inashindwa kila saa katika mechi - kriketi tunashindwa, voliboli daima inashindwa," aliongeza kusema.
Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 40 ananuia kuwa rais katika uchaguzi mwishoni mwa mwei huu Julai 30 - uchaguzi ulio wa kwanza baada ya kiongozi wa muda mrefu Robert Mugabe kuondoka madarakani.
.
Zimbabwe ilijulikana kama Rhodesia kusini kati ya mwaka 1898-1964, ambalo ni jina la Mkoloni wa Uingereza Cecil Rhodes. Mapema 1960, however, raia wenye utaifa walianza kuliita taifa hilo Zimbabwe. Jina linalotokan ana maneno mawili "dzimba" na "dzamabwe" (yenye maana ya nyumba ya mawe) kwa lugha ya Shona inayozungumzwa pakubwa hivi leo Zimbabwe.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK