Kodi ya Mitandao ya Kijamii Nchini Uganda Kuangaliwa Upya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kodi ya Mitandao ya Kijamii Nchini Uganda Kuangaliwa Upya
Serikali ya Uganda imetangaza kwamba tozo la kodi ya mitandao ya kijamii huduma ya kutuma pesa kwa simu itaangaliwa upya.

Kodi hiyo ya shilingi 200 za Uganda ambayo ni sawa na $0.05 inayotozwa ili mtu aweze kutumia mitandao kama Twitter na Facebook imechangia kuzuka maandamano nchini.

Mapema leo Jumatano Polisi nchini imefyetua gesi ya kutoa machozi na risasi hewani kutawanya kundi la waandamanji wanaopinga kodi iliyoidhinishwa ya kutumia mitandao ya kijamii.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad