AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Billnass ambaye ameamua kuandika kupitia ukurasa wake wa instagram kuhusu watu waliomfutia wimbo wake youtube kwa kusema yeye hafanyi muziki kwa mashindano bali anafanya kwa kujikwamua kwenye umaskini wake na kudai kuwa imemuumiza sana.
…>>>“Kitendo Cha Video Yangu Ku Hackiwa na Kufutwa Youtube kimeniumiza sana….Video Yangu hata haina umri wa masaa Mengi, Views wenyewe sio wa kiivyo ndo imeanza kuingia kwenye trending watu Wenye Roho Mbaya Wamefanya wanayoweza…Sijawahi Kufanya Mziki wa Mashindano.
“Mara zote Huwa na Support kazi za Wenzangu kwa Moyo Mmoja pia Huwa natoa Nyimbo kwa Muda Mrefu sana nikiwa naaamini Kila Mtu ananafasi Yake na Muda wake….Nafanya Mziki wangu kujikwamua na Umaskini wangu na kuiendeleza Karama aliyonipa Mwenyezi Mungu….
“Sio Kumkomoa Mwengine….Sidhani kama Roho za namna hii zinaweza kukuza Tasnia….imeniumiza sana na inatishia sana kama Mziki wetu umefikia huku 🙏” – Billnass
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK