Steve Nyerere Ampa Makavu Billnass "Kidogo Unaweka Matanga Watu Wameibiwa Wake Zao na Wanapambana na Hali Zao"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Steve Nyerere Ampa Makavu Billnass "Kidogo Unaweka Matanga Watu Wameibiwa Wake Zao na Wanapambana na Hali Zao"
Msanii wa bongo movie Steve Nyerere ameamua kumpa ukweli msanii wa bongo fleva  Bill Nass na kumwambia kazi sio kiki bali afanye kazi hii yote imetokea baada ya kumuona analalamikia wimbo wake kufutwa you tube.

Steve ametumia ukrasa wake wa instagramu kuandika Hivi:

 "Embu fanya mziki acha kulia lia mara nimeibiwa follows kwenye akaunt ya You tube yani unashindwa kuvumiliaaa watu wameibiwa wake zao na wanapambana na hali zao,Wewe kidogo tu umeweka na turubai daaaaaaaa .sasa ushauri wangu imba imba imba kijana wangu .unaskia baba fanya mziki kuwa kazi sio kiki sawa kijana kwa hii ngoma nimekusameee ata yaleee mambo

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad