AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Serikali ya Uganda inatarajia kukusanya kodi ya mamilioni ya dola kwa mwaka kupitia kodi hiyo mpya.
Wakosoaji wanaiangalia kodi ya kutumia mitandao ya kijamii kuwa ni njama ya Rais Yoweri Museveni ya kufanya maisha ya wapinzani wake kuwa magumu.
Museveni ambaye amekuwa madarakani tangu mwaka 1986, anaishutumu mitandao ya kijamii kwa kusambaza taarifa za uongo na uvumi.
Kila mtumiaji wa mitandao hiyo nchini humo, atalipa shilingi 200 kwa siku na kampuni ya simu zimetwikwa jukumu la kukusanya kodi hiyo.
Inakadiriwa watu milioni 17 kati ya Waganda milioni 40 wanaotumia Intaneti kupitia simu zao za mikononi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK