Calisah 'Nina Kampuni ya Kuwapa Wanawake Mimba'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MWANAMITINDO maarufu Bongo, Calisah, amesema kwa sasa anamiliki kampuni mbili,  moja ni ya kukuza wanamitindo wachanga Bongo na nyingine ni ya kuwapa mimba wanawake walioshindwa kupata mimba kwa wanaume zao.

Calisah amesema kwa sasa ameshawapa mimba wanawake 25 na anaendelea na biashara yake ambapo ukihitaji mimba unamtafuta mnasaini mkataba unamlipa kisha anakupa mimba.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad