Irene Uwoya 'Dogo Janja Alikurupuka tu Kutoa Wimbo wa Banana Hakuniomba Ushauri ila Sawa tu'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Muigizaji wa filamu Bongo, Irene Uwoya amesema kuwa hakuombwa ushauri na mumewe ambaye ni msanii wa muziki Bongo, Dogo janja kuhusu wimbo wake wa Banana.

"Ila kwa upande mmoja au mwingine naona sawa tu kwa vile ni ujumbe amefikisha ila sijui kama aliniimba mimi au Msichana mwingine, Ningeshiriki kwenye Video ile ya Banana ingebidi anilipe hela nyingi tu kwa vile na mimi nina Managment yangu na yeye ana yake" Irene
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad