Mama Mobeto Aaapa kusimama Nyuma ya Mwanae

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mama Mobeto Aaapa kusimama Nyuma ya Mwanae
MAMA wa mwana-mitindo Hamisa Mobetto, Shufaa Rutiginga ameweka wazi kuwa hata kama watu wote watamtenga mwanaye huyo, lakini yeye atasimama nyuma yake siku zote bila kujali watu wanambeza kwani anajua uchungu wake. Mama Mobetto aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, watu wakie-ndelea kumzushia mwanaye mabaya na kumsema kila kukicha kazi yake yeye siku zote ni kumpa moyo na kumsihi asikate tamaa.

“Kazi yangu kubwa kwa mtoto wangu ni kumpa moyo na kumuonesha ni jinsi gani ninampenda maana naamini ni changamoto tu anapitia, lakini zitaisha na zitamfanya kusimama imara,” alisema mama Mobetto.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad