Nandy Afunguka Jinsi Familia Yake Itavyokuwa Pindi Akiamua Kuolewa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’, amesema anatamani kuja kuwa na familia ya mfano wa kuigwa huku akitaja vigezo vitatu atakavyovizingatia.


Nandy anasema miongoni mwa sifa kubwa anazotamani ndani ya familia yake ni pamoja na ile ya kumcha Mungu, kutafuta pesa pamoja na kuwa na watoto wasiopungua watatu.


“Kila mmoja anatamani familia jinsi alivyojipanga mwenyewe, kwa upande wangu natamani sana familia iliyo bora, yenye hofu ya Mungu na ikipendeza nipate watoto wengi,” anasema Nady


Alisema anaamini wakati wake ukifika naye ataingia kwenye maisha ya ndoa na kutimiza malengo yake.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad