AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ishu ya Nay kufilisiwa ilianza kusambaa mitandaoni baada ya mashabiki kudai msanii huyo kwa sasa hana jipya kwani benki hiyo walik-wenda nyumbani kwake na kutaifisha mali zake zote zikiwemo nyumba na magari anayomiliki baada yakushindwa kulipa deni. Nay alisema hakuna ishu kama hiyo na hakuna mali yake yoyote iliyopigwa mnada kwa sababu mali zake zote zipo na hafikirii kwenda kukopa sehemu yoyote.
“Ni stori tu ambazo watu wameamua kuzungumza na watu kuzungumza siyo dhambi kwa sababu mimi ni staa, kwa hiyo watu wakiwa wanaongea vitu kama hivyo huwa sishtuki, nawaa-ngalia tu,” alisema Nay.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK