NMB Waziundua Huduma ya Kufungua Akaunti Kupitia Simu yako Mkononi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Benki ya NMB mapema wiki hii walifanya uzinduzi wa huduma tatu mpya za Benki hiyo uliofanyika Hotel ya Hyatt na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya fedha, teknolojia na baadhi ya wateja wa NMB.

Huduma zilizozinduliwa ni uwezo wa mwananchi kufungua akaunti kupitia simu yake ya mkononi, App yenye huduma zote ambazo mteja anaweza kufanya mwenyewe badala ya kwenda kwenye tawi na Scan to Pay huduma ya kufanya malipo kwa kutumia QR code na hivyo kuwawezesha kulishikishwa kifedha.

App ya NMB KLiK inapatikana katika Playstore https://goo.gl/Fr9fZf na kupitia AppStore https://goo.gl/wQXZV6


Mgeni rasmi katika uzinduzi huo alikuwa ni Naibu Gavana Usimamizi wa Fedha Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Dk.Benard Kibese ambaye alisema kwamba ubunifu huo utarahisha Watanzania wengi kufungua akaunti za benki hiyo kupitia simu zao za mikononi na kwamba hivi sasa watumiaji wa simu za mkononi ni wengi na hivyo huduma hiyo ya NMB imekuja wakati sahihi.

 “Tunaipongeza NMB kwa ubunifu huu ambao wamekuja nao wa kuhakikisha wanatumia teknolojia iliyopo kuanzisha huduma za kufungua akaunti kupitia simu ya mkononi na kizuri zaidi hata wenye simu za tochi bado wanaweza kufungua akaunti kupitia huduma hiyo,” alisema


Huduma hii imepokelewa vizuri na watumiaji wa mtandao wa Twitter ambao wamesema kwamba uzinduzi huo ni muhimu sana hususani katika mchakato wa kuipeleka Tanzania katika Uchumi wa kati. <blockquote class="twitter-tweet" data-lang="en"><p lang="en" dir="ltr">Been through that NMB TL and that <a href="https://twitter.com/hashtag/NMBJourney?src=hash&amp;ref_src=twsrc%5Etfw">#NMBJourn ey</a> imefungua memories mob and sone good throwback vibe too! Good to see how this bank (formerly MuAlizeti) have come along! Can’t wait to use their new app!</p>&mdash; PATRICE (@PatNanyaro) <a href="https://twitter.com/PatNanyaro/status/1029317002589024258?ref_src=twsrc%5Etfw">Augus t 14, 2018</a></blockquote> <script async src="https://platform.twitter.com/widgets.js" charset="utf-8"></script> <blockquote class="twitter-tweet" data-lang="en"><p lang="en" dir="ltr">Life made easy! NMB KLiK ���� Tried it, and it worked magic! Beautiful app <a href="https://twitter.com/NMBTanzania?ref_src=twsrc%5Etfw">@NMBTanzania</a> <a href="https://t.co/iMoiGzikIb">pic.twitter.com/iMoiGzikIb</a></p>&mdash; Mafuru (@MafuruJ) <a href="https://twitter.com/MafuruJ/status/1029629050837499905?ref_src=twsrc%5Etfw">August 15, 2018</a></blockquote> <script async src="https://platform.twitter.com/widgets.js" charset="utf-8"></script> <blockquote class="twitter-tweet" data-lang="en"><p lang="en" dir="ltr"><a href="https://twitter.com/NMBTanzania?ref_src=twsrc%5Etfw">@NMBTanzania</a> hii app yenu nimeirate 4.9 out of 5. Ipo designed proffesionally<br> Great job<a href="https://twitter.com/hashtag/changeTanzania?src=hash&amp;ref_src=twsrc%5Etfw">#change Tanzania</a><br>I am banking at my comfort with NMB KLiK app. Download here <a href="https://t.co/PWaIFLiPrg">https://t.co/PWaIFLiPrg</a></p>&mdash; Senior Citizen™ (@heliufoo) <a href="https://twitter.com/heliufoo/status/1029819330094096384?ref_src=twsrc%5Etfw">August 15, 2018</a></blockquote> <script async src="https://platform.twitter.com/widgets.js" charset="utf-8"></script> <blockquote class="twitter-tweet" data-lang="en"><p lang="en" dir="ltr">The new NMB KLiK App is revolutionizing the mobile banking in Tanzania like never before �������� congrats <a href="https://twitter.com/NMBTanzania?ref_src=twsrc%5Etfw">@NMBTanzania</a> for major milestone</p>&mdash; Julius J. Mbungo (@007juelz) <a href="https://twitter.com/007juelz/status/1029692395091308544?ref_src=twsrc%5Etfw">August 15, 2018</a></blockquote> <script async src="https://platform.twitter.com/widgets.js" charset="utf-8"></script>
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad