AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nedy amefunguka mengi kuhusiana na kazi yake ya Muziki wakati ameenda kuutambulisha wimbo wake mpya unaojulikana kwa jina la “Homa la Jiji” katika kituo cha habari cha Clouds Fm.
Nendy ameseama baada ya kuulizwa kuhusu kupungukiwa na kitu chochote baada ya Boss wake Ommy Dimpoz kuumwa kwa muda kidgo akiwa katika matibabu nchini Afrika Kusini.
Nedy amesema:Kukosekana kwa Ommy Dimpoz kimuziki kiukweli hakuniaffect kivyovyote na ndo mana unakuta leo nimekuja kutambulisha wimbo,lakini Ommy akiwa katika kaka ni mtu ambaye anahitajika sana katika tasnia hii ya muziki wa BongoFleva,minafikiri sio mimi tu ambaye nimemmis bali kila mmoja amemmis sana cha msingi ni kumuombea kwa Mwenyezimungu ili arusi katika hali yake ya kawaida”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK