Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Roma, ametoa sababu za BASATA kumfungia mwenyewe kwenye badala ya Stamina ambao wote kwa pamoja wametengeneza umoja 'ROSTAM'. Pia msanii huyo amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa wimbo wao wa Parapanda haujafungiwa ni ruhusua kwa vyombo vyote vya habari kuucheza.