Baada ya Vuta Nikuvute ya Kung'ang'nia Usweet Heart wa Tanzania, Wema Sepetu Aja na Ujue Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Malkia wa filamu Wema Sepetu aka Tz sweetheart ametangaza ujio wake mpya baada ya ukimya wa muda mrefu.

Mrembo huyo atafanya matukio mawili kwa pamoja, uzinduzi wa filamu yake mpya ‘Dad’ alioshirikiana na Van Vicker kutoka Nigeria pamoja na kusherekea birthday yake ambayo ameiita Bithday Gala.

“The Moment tuliokuwa tukisubiria saaaaanaaa sio,  I hope you are Ready,” aliandika Wema Sepetu kupitia picha ya matangazo ya show hiyo.

Hili litakuwa ni tukio la kwanza la mrembo huyo toka ahukumiwe na Mahakama ya Kisutu baada ya kukutwa na hatia ya kutumia dawa za kulevya aina ya bangi.

Wengi wanadai umaarufu wa Wema umeshuka tofauti na kipindi cha nyumba ambacho inadaiwa alionekana kukubalika zaidi

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad