AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aidha, TAKUKURU imetangaza zawadi nono kwa mwananchi atakayefanikisha kupatikana kwa Hans Pope na Lauwo baada ya TAKUKURU kuwatafuta kwa njia za kawaida bila mafanikio.
Katika kesi hiyo, ambayo inayowahusisha pia kina aliyekuwa Rais wa Simba, Evance Aveva na katibu wake, Geofrey Nyange “Kaburu”, watuhumiwa hao wanakabiliwa na tuhuma za kutoa taarifa za uongo kwa TRA juu ya ununuzi wa nyasi bandia za Uwanja wa Simba SC.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK