Idriss Sultan Aamua Kumuombea Msamaha Maua Sama Baada ya Kutupwa Selo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


From @idrissultan - Binafsi ningependa kumuombea msamaha Maua kwakuwa lengo sio kuivunjia heshima fedha yetu na benki kuu kwa ujumla. Katika harakati za kujitafutia ugali makosa yatafanyika tu ila muhimu ni tukae tukumbuke lengo. Lengo sio kukomoana, lengo sio kuonyeshana nani anajua zaidi, lengo sio kuwekeana mabavu bali lengo ni kuelimisha jinsi ya kutunza vyetu wenyewe. Ningependa ku-propose mumtumie Maua kuelimisha wengine kupitia influence yake na adhabu aliyopata mpaka sasa tufanye imetosha. Hakuna aliye juu ya sheria ila tuvae tu uhusika wa lengo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad