AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii na Diwani wa Kata ya Mwanga Kaskazini(ACT-Wazalendo), Crayton Chipando maarufu 'Baba Levo' ameachiwa huru kutoka kwenye mshitaka matatu yaliyokuwa yanamkabili
Alifikishwa Mahakamani hapo kwa makosa ya kushambulia, kufanya vurugu na kutumia lugha ya matusi dhidi ya Muuguzi Christina Gervas wa Zahanati ya Msufini
Alidaiwa kutenda makosa hayo mnamo Aprili 12 mwaka huu huku shauri hilo likisomwa kwa mara ya kwanza Mei 4, 2018
Aidha, kesi hiyo namba 62 ya mwaka 2018 ilikuwa ikisikilizwa kwa Hakimu Mfawidhi Flora Mtalania huku Diwani huyo akitetewa na Wakili Thomas Msasa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK