Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Msalala Apata Ajari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Msalala Apata Ajari
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama, Simon Berege na wenzake (idadi haijafahamika) wamepata ajali ya gari usiku wa kuamkia leo eneo la Shelui mkoani Singida wakiwa njiani kutoka Dodoma kurejea Shinyanga.

Aidha, imeelezwa kuwa ajali hiyo imetokea wakati dereva akijaribu kukwepa mifugo iliyokuwa ikikatisha barabara.

Majeruhi wa ajli hiyo wamelazwa katika Hospitali ya Igunga mkani Tabora wakiendelea kupatiwa matibabu na sasa hali zao wanaendelea vizuri. Taarifa zaidi endelea kuwa nasi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad